Mshambuliaji Waziri Junior ameachana na Dodoma Jiji na kujiunga na Al Mina inayoshiriki Ligi Kuu ya Iraq kwa mkataba wa miezi ...
Rais Donald Trump wa Marekani amesema mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine yataanza baada ya kufanya mazungumzo ya simu ya ...
Wakati Serikali ya Tanzania ikihamasisha jamii kutumia kondomu, kama mojawapo ya njia za kujikinga na maradhi yakiwamo ya zinaa, imebainika vijana wengi hawana mwamko wa kutumia kinga.
Kikosi cha Yanga kesho jioni kitashuka Uwanja wa KMC Complex katika mwendelezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, lakini kabla ya kipute hicho kupigwa inaelezwa benchi la ufundi la timu hiyo ...
Wawakilishi wa Kanisa Katoliki (RC) lenye ushawishi mkubwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wamekutana na ...
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Hong Kong, Jackie Chan alifunguka kuwa moja ya sababu iliyomfanya mwanaye ...
Baada ya mwanamuziki kutoka Nigeria Innocent Idibia '2Face' kutangaza kuachana na mkewe Annie Idibia, baada ya kudumu kwenye ...
Mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara zimeshika kasi na kufikia patamu. Licha ya kwamba hadi sasa ubingwa huo kuwa wazi kwa timu tano, lakini Simba na Yanga wakionekana na nafasi nzuri.
Kwa miaka ya hivi karibuni, benki zimeonyesha uthabiti mkubwa kwa kupata faida inayotokana na mikakati madhubuti ya kifedha, uboreshaji wa huduma na upanuzi wa mikopo kwa wateja.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Victor Mushi akisaini kitabu cha maombolezo msiba wa ...
Mkataba wa Ngoma umebakiza miezi minne hivi sasa ili ufikie tamati na kwa sasa yuko huru kuingia makubaliano ya awali na timu yoyote tofauti na Simba kwa vile mkataba alionao uko chini ya ...
Ni usiku uliogubikwa na nyakati za furaha, huzuni, shangwe, vurugu na historia ya aina yake wakati Everton ilipotoka sare ya mabao 2-2 na Liverpool katika mechi ya Ligi Kuu England (EPL), ...